Mpango wa Usajili Mifumo ya Usimamizi
Shirika la Viwango Tanzania (TBS) linatoa uidhinishaji mifumo ya usimamizi kulingana na masharti ya viwango yva kimataifa kwa kampuni za umma na za binafsi watengenezaji na watoa huduma wengine mawanda ya uidhinishaji mifumo ya usimamizi inahusu
ISO 9001
Mifumo ya Usimamizi wa ubora
ISO 14001
Mifumo ya Usimamizi wa Mazingira
ISO 45001
Mifumo ya Usimamizi wa Afya na Usalama kazini/mahala pa kazi
TZS 1770
Uchambuzi wa hatari na maeneo muhimu ya uthibiti
Manufaa ya uidhinishaji wa mfumo wa usimamizi
a. Kufanya kazi kwa ufanisi zaidi kwa kuwa michakato yako ypote itakuwa imepangwa na kueleweka na kila mtu kwenye biashara au shirika. Hali hiyo inaongeza tija na ufanisi kupunguza gharama za ndani.
b. Hutimiza masharti muhimu ya kisheria na usimamizi
c.Hupanuka kwenye masoko mapya, kwa sababu baadhi ya sekta na wateja wanahitaji ISO 9001 kabla ya kufanya biashara.
d.Hubainisha na kushughulikia mashaka ya inayohusiana na shirika lako.
e.Huboresha humjali mteja au kufahamu mchakato ndani ya kampuni
f.Huboresha dhamira ya usimamizi na kufanya uamuzi
g.Hali bora Zaidi ya kazi kwa kufanya kazi.
h.Huongeza motisha kwa wafanyakazi
i.Hupunguza ngharama za dosari za ndani na za nje
j.Kuendelea kuimarisha mifumo ya usimamizi wa ubora
k.Kuboresha takwimu/sifa ya kampuni
l.Huongeza imani ya mteja
Tafadhali fungua link zifuatazo kuona watoa huduma au Kampuni walioidhinishiwa Mifumo yao ya Usimamizi:
certified firms under iso 9001 2015 qms 2025 12 15
certified firms under iso 22000 2018 food safety management system 2025 12 15