Kamati za Kiufundi
Kiwango cha Tanzania hutayarishwa kwa kutumia Kamati za Kiufundi.Hadi sasa kuna kamati tisa (9) za usimamizi zinazofahamika kuwa ni kamati za (viwango) za Vitengo.Kamati za usimamizi zina takrimu wajumbe 12 kila mmoja.Wajumbe wanachaguliwa kutoka kwa wadau mbalimbali wakiwamo wa serikali, wanataaluma na utafiti, wazalishaji, wasambazaji na walaji.
Katika kila Kamati ya Kitengo kuna kamati za ufundi zenye wajumbe wasiozidi wanane (8) ambazo ni kamati za mabingwa kutoka kwa wadau kutoka kwa wadau mbalimbali.Wakati mwingine, kamati ya ufundi inaweza kuunda vikosi kazi vya kiasi cha walengwa 3 – 4 vinavyotayarisha rasimu ya awali. Kwa kawaida wenyeviti wa kamati zote huwa wanachaguliwa kwenye taasisi zisizo na upande wowote kama vile vyuo vikuu au kutoka Serikali na hasa inayohusika.Makatibu huchaguliwa TBS
Kamati ya Viwango ya Kitengo cha Kilimo na Chakula (AFDC)
Kamati hii ya viwango ya kitengo ina jukumu la kutayarisha viwango vinavyohusu teknolojia za chakula, usalama wa chakula ,mbolea (za kemikali) mazao ya kilimo, mifugo na bidhaa za mifugo, ufugaji kuku (ndege) na bidhaa na kadhalika.
Kamati hii inasimamia shughuli za kamati sita (6) za kiufundi zinazotunga viwango vya sekta ya kilimo na chakula.
| 1 |
AFDC 1 |
Usafi wa chakula na usimamizi wa usalama |
| 2 |
AFDC2/5C2 |
Uwekezaji lebo, ufungashaji na vifungashio |
| 3 |
AFDC 3 |
Ungaguaji sampuli na njia za upimaji |
| 4 |
AFDC 4 |
Shahamu na mafuta |
| 5 |
AFDC 5/5C5 |
Food addivites – viongoza chakula |
| 6 |
AFDC 6 |
Lishe na vyakula kwa matumizi ya mlo maalumu |
| 7 |
AFDC 7 |
Viwango, mimea ya upishi na vikotezo |
| 8 |
AFDC 8 |
Mikoshiolojia (Kundi la ISO) |
| 9 |
AFDC 9 |
Vifaa vya kulishia wanyama |
| 10 |
AFDC 10 |
Mbolea na viboresha udongo |
| 11 |
AFDC 11 |
Bioteknolojia |
| 12 |
AFDC 12 |
Matunda na mboga vilivyosindikwa |
| 13 |
AFDC 13 |
Vinywaji vyenye kilevi na visivyo na kilevi |
| 14 |
AFDC 14 |
Maziwa na bidhaa za maziwa |
| 15 |
AFDC 15 |
Pakuokea mikate, mandazi, keki (mapochopocho) |
| 16 |
AFDC 16 |
Nafaka, jamii ya mikundekunde (kunde, choroko, njegere, maharage, dengu, soya, fiwi) |
| 17 |
AFDC 17 |
Sukari na asali |
| 18 |
AFDC 18 |
Chai |
| 19 |
AFDC 19 |
Mbegu za Mafuta (oleaginous seeds) |
| 20 |
AFDC 20 |
Tumbaku na bidhaa zake |
| 21 |
AFDC 21 |
Vyakula vya wanga visivyo vya mafuta |
| 22 |
AFDC 22 |
Nyama, kuku, mayai na bidhaa zao |
| 23 |
AFDC 23 |
Samaki na bidhaa zake |
| 24 |
AFDC 24 |
Kahawa na bidhaa zake |
| 25 |
AFDC 25 |
Tathmini ya fahamu/hisia (sensory evaluation) |
| 26 |
AFDC 26 |
Bidhaa za matunda na mboga zisizosindikwa |
| 27 |
AFDC 27 |
Mabaki ya Dawa za mifugo kwenye vyakula |
| 28 |
AFDC 28 |
Vyakula vilivyozalishwa kwa mbolea asilia |
| 29 |
AFDC 29 |
Kakao na bidhaa za kakao |
| 30 |
AFDC 30 |
Usambazaji mbegu |
Kamati ya viwango ya kitengo cha kemikali na vifaa tiba (CDMC)
Kamati hii ya viwango ya kitengo ina jukumu la kutayarisha viwango vinavyohusu sabuni, ditajenti/visafishi, rangi, vinatilifu, viandikia na vifaa vinavyohusiana na bidhaa zote zilizotengenezwa kwa kemikali, dawa na vifaa tib ana vinginevyo.
Kamati hii inasimamia kamati za ufundi ishirini (20) zinazotunga viwango kwenye Nyanja za kemikali na vifaa tiba.
| 1 |
CDMC 1 |
Dawa za meno |
| 2 |
CDMC 2 |
Sabuni na ditajenti/visafisha |
| 3 |
CDMC 3 |
Vipodozi na bidhaa zinazohusiana |
| 4 |
CDMC 4 |
Viberiti na fashifashi |
| 5 |
CDMC 5 |
Bidhaa za kioo |
| 6 |
CDMC 6 |
Ubora wa maji |
| 7 |
CDMC 7 |
Kemikali za viwanda na maabara |
| 8 |
CDMC 8 |
Dawa za kuulia wadudu wa vyumbani |
| 9 |
CDMC 9 |
Gesi |
| 10 |
CDMC 10 |
Viandikia na bidhaa na kapatasi |
| 11 |
CDMC 11 |
Plastiki na bidhaa za plastiki |
| 12 |
CDMC 12 |
Rangi na vanishi |
| 13 |
CDMC 13 |
Mpira na bidhaa za mpira |
| 14 |
CDMC 14 |
Petroli na bidhaa za petrol |
| 15 |
CDMC 15 |
Dawa |
| 16 |
CDMC 16 |
Vilainishi na bidhaa za oili |
| 17 |
CDMC 17 |
Utunzaji wa nyumba, burudani na vifaa vya michezo |
| 18 |
CDMC 18 |
Bioenergy |
| 19 |
CDMC 19 |
Dawa asili |
| 20 |
CDMC 20 |
Vifaa tiba |
Kamati ya kitengo ya viwango vya Jumla (GDC)
Kamati hii ya viwango ya kitengo ina jukumu la kutayarisha viwnago kwa ajili ya masuala mtambuko ya kwenye uhandisi na teknolojia za uchakataji na kaitka tasnia ya huduma kama vile utalii, hoteli, uchukuzi/usafirishaji, elimu, shughuli za kijamii na nyinginezo. Viwango hivi vinakusudia kushughulikia mahitaji yanayojitokeza katika sekta ya huduma na kuwakilisha eneo linalokuwa/linaloendelea (growth area)
Kamati hii inasimamia shughuli za kamati nane (8) za kiufundi zinazotunga viwango vya viwango vya jumla vinavyotokana na masuala mtambuka katika uhandisi wa teknolojia ya uchakataji.
|
1. |
GDC 1 |
Kiasi, vipimo, alama na mambo ya ubadilishaji |
|
2. |
CDC 2 |
Machujio/machekeche, uchekechaji na njia nyingine za kupata kiasi ……………. Majengo na ujenzi (hudding na construction) |
|
3. |
CDC 3 |
Usimamizi wa ubora na uhakiki wa ubora |
|
4. |
CDC 4 |
Ufungashaji |
|
5. |
CDC 5 |
Utunzaji taarifa |
|
6. |
CDC 6 |
Msaada kwa jamii (social responsibility) |
|
7. |
CDC 7 |
Huduma kwa jamii (societal security) |
|
8. |
CDC 8 |
Utalii na huduma zinazohusiana |
Kamati ya viwango ya kitengo cha ufundi umeme (EDC)
Kamati hii ya viwango vya kitengo inatayarisha viwango katika uwanja wa uzalishaji nishati ya umeme, upelekaji, usambazaji na vifaa yva utumiaji, nyenzo za kuchenjua umeme, waya za kusukia, vifaa vya kupimia na kudhibiti mchakato na betrii za msingi nabetrii fuasi (primary and secondary battores).
Pia ni uwekaji viwnago kwenye Nyanja za vifaa vya elektroni na mawasiliano ya simu ikiwemo sekta ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA).
Kamati hii inasimamia shughuli za kamati za ufundi sita (6) zinazotunga viwango vya sekta ndogo za umeme, vifaa vya elektroni na mawasiliano.
|
1. |
EDC 1 |
Vifaa vya umeme |
|
2. |
EDC 2 |
Umeme wenye nguvu ndogo Zaidi na uhifadhi wa umeme |
|
3. |
EDC 3 |
Vifunga umeme (electrical installation) |
|
4. |
EDC 4 |
Mifumo ya king’ora na usalama ya kielektroni |
|
5. |
EDC 5 |
Nishati ifadidifu |
|
6. |
EDC 6 |
Vifaa vya mawasiliano |
Viwango vya migodi na madini
Kamati hii ya viwango ya kitengo inatayarisha viwango kuhusu ishilahi/msamiati, njia za kuchukua sampuli, njia za upimaji, kanuni za utendaji, uamshaji wa vipimo kamili kwa ajili ya bidhaa na huduma zinazohusu utafiti wa madini, uchimbaji na uchakataji.
Kamati hii inasimamia shughuli za kamati za ufundi tisa (9) zinazotunga viwango vya sekta migodi na madini.
|
1. |
MMDC 1 |
Utafiti |
|
2. |
MMDC 2 |
Upangaji wa mgodi, shughuli na huduma |
|
3. |
MMDC 3 |
Fundi nguo na bidhaa zinazohusika |
|
4. |
MMDC 4 |
Vifaa vya mgodi na kubebea udongo |
|
5. |
MMDC 5 |
Mifumo ya kisasa ya kielektroni ya migodi (Advanced automated mining systems) |
|
6. |
MMDC 6 |
Mawe ya madini na makinikia |
|
7. |
MMDC 7 |
Vito, ufundivito, mawe ya vito, metali za thamani |
|
8. |
MMDC 8 |
Elementi za madin adimu |
|
9. |
MMDC 9 |
Uchakataji madini na vifaa |
Kamati na viwango ya kitengo cha nguo na Ngozi (TDC)
Kamati hii ya viwango ya kitengo inatayarisha viwnago vya utembo, mjuzi, ugwe, Kamba, nguo na vitu vingine vilivyotengenezwa bidhaa za Ngozi, njia za upimaji na maana na istilahi/msamiati unaohusiana
Kamati hii inasimamia shughuli za uwekezaji viwango za kamati za ufundi zinazotunga viwango katika sekta ya nguo na Ngozi.
|
1. |
TDC 1 |
Bendera |
|
2. |
TDC 2 |
Mavazi |
|
3. |
TDC 3 |
Nguo/vitambaa vya ndani ya nyum ba |
|
4. |
TDC 4 |
Uwekaji lebo (vyeo) |
|
5. |
TDC 5 |
Utaratibu wa kupata sampuli na njia za upimaji |
|
6. |
TDC 6 |
Utembo – usiopenya moto na kuzuia kusambaa kwake |
|
7. |
TDC 7 |
Utembo – pamba |
|
8. |
TDC 8 |
Nyuzi na Kamba zinazosokotwa |
|
9. |
TDC 9 |
Vitambaa/nguo za hospitali |
|
10. |
TDC 10 |
Vikingamimba vya kitabibu (mechanical contraceptives) |
|
11. |
TDC 11 |
Ngozi na bidhaa za Ngozi |
|
12. |
TDC 12 |
Nguo za ufundi |
Kamati ya viwango ya kitengo cha umakanika na uhandisi wa metalajia (MMEDC)
Kamati hii ya viwango ya kitengo hutayarisha viwango vinavyohusu uhandisi wa makanika ikiwemo migodi, mabusela, vyomba vya kanjeneo, upoozaji na kiyoyozi, ushughulikaji nyenzo, mitambo ya kilimo, uhandisi wa kemikali na uhandisi mwingine wa jumla kama vile compressa, mitungi ya gesi, bana za gesi na oili, uchimbaji wa visuka vya maji, seti za pampu, zana na vifaa vya elimu.Pia kamati hii inatayarisha viwango katika uwanja wa metalajia na uhandisi wa metalajia ikiwemo metali za chuma na zisizo za chuma, aloi na bidhaa zao, wawe ya madini na madini kuhalibu, vitu vigumu, metalajia ya poda, upashaji joto metali, mpako wa kuzuia kutu, mipako ya metali na isiyo ya metali (isipokuwa rangi, pigment/rangi za asili na uwekaji enameli) mna kutambuza.
Kamati hii inasimamia shughuli za kamati za ufundi nane (8) zinazotunga viwango kwenye tasnia ya umakenika na metalojia.
| 1 |
MMEDC 1 |
Viwanja vya msingi |
| 2 |
MMEDC 2 |
Metali na miundo |
| 3 |
MMEDC 3 |
Mabomba na uunganishi |
| 4 |
MMEDC 4 |
Vijenzi vya magari |
| 5 |
MMEDC 5 |
Zana na vifaa vya kilimo |
| 6 |
MMEDC 8 |
Pampu na vifaa kutiririshia |
| 7 |
MMEDC 9 |
Mkaa wa majiko ya mkaa |
| 8 |
MMEDC 10 |
Moto na kuzuia moto |
Kamati ya viwango ya kitengo cha usimamizi wa mazingira (EMDC)
Kamati hii ya viwango ya kitengo inatayarisha viwango kwenye uwanja wa mazingiraafya na usalama kazini, usafi wa mfumo wa majitaka na usio wa majitaka na utakasaji majitaka.
Kamati hii inasimamia shughuli za kamati za kiufundi nane (8) zinazotunga viwango katika uwanja wa usimamizi wa mazingira.
|
1 |
EMDC 1 |
Majitaka |
|
2 |
EMDC 2 |
Ubora wa Hewa |
|
3 |
EMDC 3 |
Ubora wa Udongo/ardhi |
|
4 |
EMDC 4 |
Usimamizi wa mazingira |
|
5 |
EMDC 5 |
Kelele na mitetemo |
|
6 |
EMDC 6 |
Mvurumisho |
|
7 |
EMDC 7 |
Misitu |
|
8 |
EMDC 8 |
Talea ngumu |
Kamati ya viwanja ya kitengo cha ujenzi na uhandisi wa majengo (BCEDC)
Kamati hii ya viwango ya kitengo inatayarisha viwango katika uwanja wa ujeniz ikiwemo uhandisi wa majengo, vifaa vya ujenzi na ujenzi, ramani, usanifu, ujenzi na matengenezo ya majenog, kanuni za ujenzi na usalama wa majengo.Kamati hii pia inatayarisha viwango vya magogo ya mviringo, mbao zilizopasuliwa na mbao zilizochakatwa na nyenzo za mbao katika na kwa ajili ya matumizi yote, ikiwemo istilahi/usamiati, vipimo kamili na njia za upimaji. Viwango kuhusu muundo wa matumizi ya mbao, paneli za ubao, bidhaa nyingine za mbao pia kushughulikiwa na kamati hii.
Kaati hii husimamia shughuli za kamati za kiufundi kumi na tatu (13) zinanzotunga viwango katika tasnia ya uhandisi wa ujenzi, majengo na ujengaji.
|
1 |
BCEDC 1 |
Mchanganyiko wa mchanga na kokoto, mchanga na zenge/saruji |
|
BCEDC 2 |
Uashi |
|
BCEDC 3 |
Kanuni za ujenzi na majengo |
|
BCEDC 4 |
Bidhaa za saruji, chokaa na za udongo wa mfinyanzi |
|
BCEDC 5 |
Barabara |
|
BCEDC 6 |
Mbao zilizopasuliwa, magogo yaliyopasuliwa na vijenzi vya mbao |
|
BCEDC 7 |
Majengo ya usafi/ vyoo, vyombo vya usafi |
|
BCEDC 8 |
Nyenzo za kuezekea na kumalizia |
|
BCEDC 9 |
Madaraja na mifereji ya maji machafu/ bomba |
|
BCEDC 10 |
Majengo ya mbao |
|
BCEDC 11 |
Udongo kwa ajili ya madhumuni ya msingi na uhandisi ujenzi |
|
BCEDC 12 |
Ujenzi na uhandisi, ujenzi kwa jumla |
|
BCEDC 13 |
Milango na madirisha |