News
30-01-2025
Check expiry to avoid health risks
Events
-
EAMET Regional Metrology Conference
28-01-2026Mombasa, Kenya -
Editors Forum
16-09-2025TBS, Ubungo Dar es Salaam -
ARSO General Assembly
16-06-2025Golden Tulip Zanzibar Airport Hotel
Announcements
-
28-01-2026
The East African Metrology Technical Subcommittee (EAMET) Regional Metrology Conference...
-
20-01-2026
Shirika la Viwango Tanzania (TBS) linapenda kuutaarifu umma kuwa limesitisha vyeti na le...
-
16-01-2026
Shirika la Viwango Tanzania (TBS) limeandaa mafunzo ya ngazi ya uelewa juu ya matakwa ya...
Announcements
Posted On: Oct 13, 2024
TAARIFA KWA UMMA KUHUSU MATUMIZI YA KEMIKALI KATIKA UIVISHAJI WA NDIZI
Hivi karibuni, kumekuwepo na taarifa inayosambaa kwenye mitandao ya kijamii inayoelezea matumizi ya kemikali kwa ajili ya kuivisha ndizi katika Jiji la Dar es Salaam na kutilia mashaka usalama wa afya ya mlaji wa bidhaa husika. taarifa kwa umma kuhusu uivishwaji wa ndizi